Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mwanzo 26:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Abimeleki akamwuliza: “Ni jambo gani hili ulilotutendea? Mumoja wa watu wangu angaliweza kulala na muke wako bila wasiwasi, nawe ungekuwa umeleta kosa juu yetu.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mwanzo 26:10
4 Σταυροειδείς Αναφορές  

Abimeleki akamwita Isaka na kumwambia: “Hakika huyo ni muke wako! Sababu gani ulisema kwamba ni dada yako?” Isaka akajibu: “Kwa sababu niliogopa kwamba ningeuawa kwa sababu yake.”


Asubui, Yakobo akatambua kwamba ni Lea! Basi, akamwuliza Labani: “Umenitendea jambo gani? Si nilikutumikia kwa ajili ya Rakeli? Mbona basi, umenidanganya?”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις