Mwanzo 26:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
10 Abimeleki akamwuliza: “Ni jambo gani hili ulilotutendea? Mumoja wa watu wangu angaliweza kulala na muke wako bila wasiwasi, nawe ungekuwa umeleta kosa juu yetu.”
Abimeleki akamwita Isaka na kumwambia: “Hakika huyo ni muke wako! Sababu gani ulisema kwamba ni dada yako?” Isaka akajibu: “Kwa sababu niliogopa kwamba ningeuawa kwa sababu yake.”
Asubui, Yakobo akatambua kwamba ni Lea! Basi, akamwuliza Labani: “Umenitendea jambo gani? Si nilikutumikia kwa ajili ya Rakeli? Mbona basi, umenidanganya?”