5 Wahiti wakamujibu:
Kanana alikuwa babu ya Sidona, muzaliwa wake wa kwanza, na Heti,
“Mimi ninaishi kama mugeni kati yenu. Munipatie sehemu ya udongo ya kaburi, kusudi nipate kumuzika marehemu muke wangu.”
“Ee bwana wetu, usikilize; wewe ni kiongozi mukubwa kati yetu. Umuzike marehemu muke wako katika kaburi lolote utakalojichagulia; hakuna yeyote kati yetu atakayekunyima kaburi lake, wala kukuzuia kumuzika marehemu muke wako.”
Abrahamu akaacha maiti ya muke wake, akatoka na kwenda kuzungumuza na Wahiti, akawaambia:
Wana wa Kanana walikuwa: Sidoni, muzaliwa wake wa kwanza, na Heti.
Lakini aliwaokoa wakosefu katika taabu zao, akaongeza jamaa zao kama kundi la kondoo.