Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mwanzo 22:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Betueli alizaa Rebeka. Milka alimuzalia Nahori, ndugu ya Abrahamu, watoto hao wanane.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mwanzo 22:23
13 Σταυροειδείς Αναφορές  

Mbele hajamaliza kuomba, mara moja Rebeka, binti ya Betueli mwana wa Milka, muke wa Nahori, ndugu ya Abrahamu, akafika akibeba mutungi wake kwenye bega.


Na si vile tu; Rebeka alikuwa na watoto wawili aliowazaa na mume mumoja, ndiye babu yetu Isaka.


Basi, Isaka akamutuma Yakobo, naye akakwenda Padani-Aramu kwa Labani, mwana wa Betueli wa Aramu, kaka ya Rebeka, mama ya Yakobo na Esau.


Kwenda Padani-Aramu, kwa nyumba ya babu yako Betueli, uoe mumoja kati ya wabinti za mujomba wako Labani.


Isaka alipokuwa na umri wa miaka makumi ine akamwoa Rebeka, binti ya Betueli, Musuria wa Padani-Aramu. Rebeka alikuwa dada ya Labani.


Basi, Isaka akamutwaa Rebeka ndani ya hema iliyokuwa ya mama yake Sara, naye akakuwa muke wake. Isaka akamupenda Rebeka na kupata kufarijika nyuma ya kifo cha mama yake.


Basi, wakamubariki Rebeka wakisema: “Ewe dada yetu! Ukuwe mama wa maelfu kwa maelfu; wazao wako warizi miji ya waadui zao.”


Rebeka huyu hapa. Umutwae uende. Akuwe muke wa mwana wa bwana wako kama vile Yawe alivyosema.”


Halafu nilimwuliza: ‘Wewe ni binti ya nani?’ Akaniambia: ‘Mimi ni binti ya Betueli mwana wa Milka, muke wa Nahori.’ Halafu nikamupa pete na kumuvalisha vikomo kwa mikono.


Rebeka akajibu: “Mimi ni binti ya Betueli mwana wa Milka, muke wa Nahori.


Abramu na Nahori wakaoa. Muke wa Abramu aliitwa Sarai. Muke wa Nahori aliitwa Milka, binti ya Harani ambaye vilevile alikuwa baba ya Isika.


Kesedi, Hazo, Pildasi, Idilafu na Betueli.


Zaidi ya hayo, Reuma, habara ya Nahori, vilevile alimuzalia watoto: Teba, Gahamu, Tahasi na Maka.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις