Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mwanzo 18:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Wale wageni wakamwuliza: “Muke wako Sara yuko wapi?” Abrahamu akawajibu: “Yuko ndani ya hema.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mwanzo 18:9
8 Σταυροειδείς Αναφορές  

Mumoja wao akasema: “Hakika nitakurudilia kwa wakati kama huu katika mwaka na muke wako Sara atakuwa na mutoto mwanaume.” Sara alikuwa kule nyuma kwenye mulango wa hema, akisikiliza.


Halafu Abrahamu akachukua siagi, maziwa na ile nyama uliotayarishwa, akawatayarishia wageni hao chakula; naye akasimama karibu nao walipokuwa wakikula chini ya muti.


Basi, Isaka akamutwaa Rebeka ndani ya hema iliyokuwa ya mama yake Sara, naye akakuwa muke wake. Isaka akamupenda Rebeka na kupata kufarijika nyuma ya kifo cha mama yake.


Lakini Yawe Mungu akamwita yule mwanaume: “Uko wapi?”


Basi, Labani akatafuta sanamu hizo za miungu yake katika hema la Yakobo, la Lea na la wale wajakazi wawili; lakini hakuzipata. Akatoka katika hema la Lea na kuingia katika hema la Rakeli.


Yawe akamwuliza Kaina: “Ndugu yako Abeli yuko wapi?” Kaina akamujibu: “Mimi sijui! Mimi ni mulinzi wa ndugu yangu?”


na kuwa wenye utaratibu, wenye maisha safi, wenye kutunza nyumba zao vizuri, wema na wenye kutii waume wao, kusudi Neno la Mungu lisitukaniwe.


Kwa njia ya imani, aliishi kama vile mugeni katika inchi ile Mungu aliyomwahidi. Yeye alikuwa akiishi katika hema kama vile Isaka na Yakobo walivyoishi. Wao vilevile walishiriki pamoja naye ahadi ile ile ya Mungu.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις