Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mwanzo 14:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 ni kusema Soari, wakaingia katika vita katika bonde la Sidimu kupigana na Kedorilaomeri mufalme wa Elamu, Tidali mufalme wa Goimu, Amurafeli mufalme wa Sinari na Arioki mufalme wa Elasari: wafalme wane kupigana na wafalme watano.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mwanzo 14:9
5 Σταυροειδείς Αναφορές  

Wana wa Semu walikuwa Elamu, Asuri, Aripakisadi, Ludi na Aramu.


Kwa wakati ule, mufalme Amurafeli wa Sinari, mufalme Arioki wa Elasari, mufalme Kedorilaomeri wa Elamu na mufalme Tidali wa Goimu,


Bonde la Sidimu lilikuwa limejaa mashimo ya kabulimbo; kwa hiyo wafalme wa Sodoma na Gomora walipokuwa wakikimbia vita, wakatumbukia mule, lakini wengine wakatorokea kwenye mulima.


Halafu mufalme wa Sodoma, mufalme wa Gomora, mufalme wa Adima, mufalme wa Seboimu na mufalme wa Bela


Yawe akamutolea nabii Yeremia ujumbe huu juu ya Elamu, kwa mwanzo wa utawala wa Zedekia, mufalme wa Yuda.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις