Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mwanzo 13:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Basi, Abramu akamwambia Loti: “Kusikuwe ugomvi kati yetu wala kati ya wachungaji wako na wachungaji wangu, kwa sababu sisi ni jamaa moja.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mwanzo 13:8
30 Σταυροειδείς Αναφορές  

Angalia inchi hii yote mbele yako. Na tutengane. Ukikwenda kushoto, mimi nitakwenda kuume. Ukikwenda kuume, mimi nitakwenda kushoto.”


Abramu alipopata habari kwamba mwipwa wake amekamatwa kuwa mufungwa, akatoka na watu wake mashujaa mia tatu na kumi na wanane waliozaliwa katika nyumba yake, akawafuatilia waadui mpaka Dani.


Basi, Yosefu akaagana na wandugu zake. Walipokuwa wanaondoka akawaonya akisema: “Musigombane katika njia!”


Museme: ‘Bwana, sisi watumishi wako, ni wafugaji wa nyama tangu utoto wetu mpaka leo, maana ndivyo babu zetu walivyokuwa.’ Museme hivyo kusudi muruhusiwe kukaa katika eneo la Goseni.” Yosefu alisema hivyo kwa sababu kwa Wamisri wachungaji wote wa kondoo ni chukizo.


Wimbo wa safari za kidini: wa Daudi. Ni jambo zuri na la kupendeza sana kwa ndugu kuishi pamoja kwa umoja.


Kesho yake, Musa akatoka tena, akaona Waebrania wawili wakipigana. Basi, akamwuliza yule aliyekosa: “Kwa nini unamupiga mwenzako?”


Kujibu kwa upole kunatuliza hasira, lakini neno kali linachochea hasira.


Mutu wa hasira mbaya anasababisha ugomvi, lakini asiyekuwa mwepesi wa hasira anautuliza.


Ni jambo la heshima kuepuka ugomvi; wapumbafu ndio wanaogombana.


Heri wale wanaoleta amani, maana wataitwa watoto wa Mungu!


Kesho yake akawakutana Waisraeli wawili wakipigana, naye akajaribu kuwaamua, akiwaambia: ‘Warafiki, ninyi ni wandugu; kwa sababu gani munatendeana vibaya?’


Mupendane ninyi kwa ninyi kwa kweli kama vile wandugu, nanyi muheshimiane ninyi kwa ninyi.


Mufanye kila kitu bila manunguniko wala mabishano,


Na kuelekea upendo wa wandugu waamini, si lazima kwenu kuwaandikia neno lolote, kwa maana Mungu yeye mwenyewe amewafundisha ninyi kupendana.


Mujikaze kwa kuishi katika amani na watu wote na kuishi katika utakatifu, kwa sababu hakuna mutu asiyeishi katika hali hiyo atakayemwona Bwana.


Muendelee kuishi katika upendo wa kindugu.


Ninyi mumekwisha kutakaswa kwa njia ya kutii neno la kweli kwa kuwapenda wandugu zenu pasipo unafiki. Basi mupendane kabisa, kwa moyo wenu wote.


Muwaheshimu watu wote. Muwapende wandugu zenu waamini. Mumwogope Mungu, mumuheshimu mufalme.


Kwa kumaliza, ninyi wote mukuwe na mawazo na nia moja, mupendane kama wandugu waamini, mukuwe wema na wanyenyekevu.


Na zaidi ya yote mudumu katika upendo ninyi kwa ninyi, maana upendo unafunika zambi nyingi.


undugu juu ya kushikamana na ibada, na upendo juu ya undugu wenu.


Wapendwa wangu, tupendane, kwa maana upendo unatoka kwa Mungu. Kila mutu anayekuwa na upendo ni mutoto wa Mungu naye anamujua Mungu.


Siku moja, Gali mwana wa Ebedi alikwenda pamoja na wandugu zake kukaa Sekemu. Watu wa Sekemu wakamuwekea tumaini.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις