Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mika 7:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Usimwaminie mwenzako, wala usimutumainie rafiki yako. Chunga mudomo wako, usimwambie kitu muke wako wewe mwenyewe.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mika 7:5
11 Σταυροειδείς Αναφορές  

Ee Yawe, ulinde kinywa changu, uweke mulinzi kwenye mulango wa kinywa changu.


Lakini mimi nimekuwa kama kiziwi, sisikii; nimekuwa kama bubu asiyeweza kusema kitu.


Wanasema: “Magonjwa haya yatamwua; hatatoka tena ndani ya kitanda chake!”


Kila mutu ajiepushe na jirani yake, wala asimwaminie ndugu yake! Maana ndugu ni mudanganyifu na kila jirani ni musingiziaji.


Kila mutu anadanganya jirani yake, hakuna hata mumoja anayesema ukweli. Wamezifundisha ndimi zao kusema uongo; anatenda uovu kwa kadiri ya kushindwa kabisa kunigeukia.


Unalia usiku kucha; machozi yanatiririka juu ya mashavu yake. Hakuna hata mumoja kati ya wapenzi wake kwa kuufariji. Rafiki zake wote wameudanganya; wamekuwa waadui zake.


“Muangalie! Ninawatuma kama kondoo katikati ya imbwa wa pori. Basi mukuwe waangalifu kama nyoka na wakamilifu kama njiwa.


Lakini aliendelea kulia katika muda wao wote wa siku saba za sherehe za arusi. Siku ya saba Samusoni akamwambia muke wake kile kitendawili kwa sababu alimwuzi sana. Muke wake akaenda haraka akawaambia watu wake.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις