4 Uambie Hekima: “Wewe ni dada yangu”, na Akili: “Wewe ni rafiki yangu”.
kama nikiita kaburi “baba yangu” na vidudu “mama yangu” au “dada yangu”,
Uyafunge kwenye vidole vyako; uyaandike ndani ya moyo wako.
Vitakulinda mbali na mwanamuke mubaya, vitakuepusha na maneno matamu ya mwanamuke mugeni.
Heri ungekuwa kaka yangu, ambaye amenyonyeshwa na mama yangu! Hivyo, hata kama ningekutana nawe inje, ningekubusu na hakuna ambaye angenizarau.