Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mezali 3:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Maana vitakupa wingi wa siku, maisha marefu na fanaka kwa wingi.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mezali 3:2
22 Σταυροειδείς Αναφορές  

Tena kama ukifuata njia yangu na kushika masharti na amri zangu kama vile baba yako Daudi alivyofanya, basi, nitakupa maisha marefu.”


Utashuka katika kaburi ukiwa na miaka yenye kutimia, kama vile muganda wa ngano uliokomaa vizuri.


Wanaopenda sheria yako wana amani kubwa; hakuna kinachoweza kuwaangusha.


Uishi na hata uwaone wajukuu wako! Amani ikuwe na Israeli!


Umemufikia, ukamupatia baraka nzurinzuri; umemuvalisha taji ya zahabu safi juu ya kichwa chake.


Nitamupa maisha marefu, nitamujalia wokovu wangu.”


Kumwogopa Yawe kunarefusha maisha, lakini miaka ya waovu itakuwa mifupi.


Kuwa na imvi za uzee ni taji la utukufu; zinapatikana kwa maisha ya haki.


Mwana wangu, sikia na kupokea maneno yangu, kusudi upate kuwa na miaka mingi ya kuishi.


Baba yangu alinifundisha hiki: “Shika kwa moyo maneno yangu, shika amri zangu nawe utaishi.


Kwa musaada wangu mimi Hekima siku zako zitaongezwa; utaongezewa miaka mingi katika maisha yako.


Kutokana na kutenda kwa haki, watu watapata amani, utulivu na usalama kwa milele.


Kwa maana kazi ya Ufalme wa Mungu si kushugulika na mambo ya kula na kunywa, lakini ni kushugulika na haki, amani na furaha vinavyotolewa na Roho Mutakatifu.


Basi, Mungu anayekuwa musingi wa matumaini, awajaze furaha kamili na amani kutokana na imani yenu; hata tumaini lenu lipate kuongezeka kwa nguvu ya Roho Mutakatifu.


Sasa kufuatana na vile tumekwisha kuhesabiwa haki mbele ya Mungu kwa njia ya imani, kunakuwa sasa amani kati yetu na Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.


kusudi ninyi na watoto wenu mupate kuishi maisha marefu katika inchi ambayo Yawe, Mungu wenu, aliapa kuwapa babu zenu, siku zote mbingu zitakapodumu juu ya dunia.


“Ninyi mukuwe waangalifu mufanye kama vile Yawe alivyowaamuru. Mutimize kila kitu sawasawa.


Mazoezi ya mwili yana mafaa kidogo, lakini kushikamana na ibada kuna mafaa katika mambo yote, kwa maana kunatupatia ahadi ya kuishi kwa wakati huu wa sasa na kwa wakati utakaokuja.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις