Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mezali 2:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Ukinisikiliza, utafahamu haki, usawa, na kufuata sheria ya Mungu; utafahamu kila njia nzuri.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mezali 2:9
16 Σταυροειδείς Αναφορές  

Neno lako ni taa ya kuniongoza, na mwangaza katika njia yangu.


Ninaelewa kuliko walimu wangu wote, kwa sababu ninafikiri juu ya maagizo yako.


Kila mutu anayemwabudu Yawe, Yawe atamufundisha njia ya kufuata.


Mungu anasema: “Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayofuata. Nitakushauria kwa uangalifu mukubwa.


Waovu hawaelewi haki ya sheria, lakini wanaomwogopa Yawe wanaielewa kabisa.


Ukitembea hatua zako hazitazuizwa, wala ukikimbia hautajikwaa.


Njia ya wenye haki ni kama mwangaza wa asubui mapema, ambao unaangaza zaidi na zaidi hata muchana kamili.


Ninatembea katika njia ya haki; ninafuata sheria ya Mungu.


Humo kutakuwa barabara kubwa, nayo itaitwa Njia Takatifu. Watu wachafu hawatapitia humo, lakini wale watu wa Mungu tu; wapumbafu hawatakanyaga ndani yake,


Yawe, Mutakatifu wa Israeli, Mukombozi wako, anasema hivi: Mimi ndiye Yawe, Mungu wako; ninayekufundisha kwa faida yako na kukuongoza katika njia unayotakiwa kwenda.


Yawe anasema hivi: Musimame katika masanganjia, muangalie. Muulize juu ya matukio ya zamani. Mutafute pahali panapokuwa njia nzuri muifuate, nanyi mutaweza kupumzika. Lakini wao wakasema: Hatutafuata njia hiyo.


Yesu akamujibu: “Mimi ni njia, ukweli na uzima. Mutu hawezi kufika kwa Baba asipopitia kwangu.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις