Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mezali 2:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Analinda mienendo ya watu wanaofuata sheria yake, na kuchunga njia za waaminifu wake.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mezali 2:8
20 Σταυροειδείς Αναφορές  

na kuirudishia nafsi yangu nguvu mupya. Ananiongoza katika njia sawa kwa utukufu wa jina lake.


Anayalinda maisha ya waaminifu wake, lakini anaangamiza maisha ya waovu katika giza. Maana, mwanadamu hapati ushindi kwa nguvu zake.


Yawe anawalinda wote wanaomupenda; lakini anawaangamiza waovu wote.


Basi yeye anayeweza kuwalinda kusudi musianguke, na kuwasimamisha ninyi mbele ya utukufu wake pasipo kilema na kwa furaha kubwa,


Yeye ametujalia maisha, wala hakutuacha tuanguke.


Ninyi ambao kwa imani munalindwa salama kwa nguvu za Mungu kwa ajili ya wokovu ambao uko tayari kufunuliwa kwa mwisho wa nyakati.


Ninatembea katika njia ya haki; ninafuata sheria ya Mungu.


maana Yawe anapenda haki, wala hawaachi waaminifu wake. Anawalinda hata milele; lakini wazao wa waovu wataangamizwa.


Maana Yawe anashugulikia njia ya watu wa haki; lakini njia ya waovu itaangamia.


Yawe anawapenda watu wake, anawalinda watakatifu wake wote. Wanamufuata na kupata maagizo kutoka kwake.


humo hamutakuwa simba, nyama yeyote mukali hatapitia humo, hao hawatapatikana humo. Lakini waliokombolewa ndio watakaopita humo.


Sheria ya Mungu wake ni ndani ya moyo wake, naye hapiti pembeni katika mwenendo wake.


Yawe anawapenda wale wanaochukia uovu, anayalinda maisha ya watu wake, anawaokoa kutoka makucha ya waovu.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις