Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mezali 2:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Anawawekea watu wa usawa akiba ya hekima safi, yeye ni ngao kwa watu wanaoishi kwa ukamilifu.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mezali 2:7
16 Σταυροειδείς Αναφορές  

Maneno yote ya Mungu ni ya kuaminiwa. Yeye ni ngao yao wote wanaomukimbilia.


Siku moja tu ndani ya hekalu lako, ni bora kuliko siku elfu pahali pengine; afazali kubakia kwa mulango wa nyumba yako, kuliko kuishi ndani ya nyumba ya waovu.


Kwa maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Nitaharibu hekima ya wenye hekima, Nitapoteza akili ya wenye akili.”


Lakini Mungu amewaunganisha na Yesu Kristo, naye amemufanya Kristo kuwa hekima yetu. Kwa njia ya Kristo tunahesabiwa haki mbele ya Mungu, tumekuwa watu watakatifu wa Mungu, na kukombolewa toka zambi zetu.


Mwenye mwenendo mukamilifu ataponyeshwa, lakini munafiki wa njia mbili ataanguka mara moja.


Hekima ya mwenye akili inamwonyesha njia yake, lakini upumbafu wa wapumbafu unawadanganya wenyewe.


kwa maana hazina zote za hekima na elimu zimefichwa ndani yake.


rafiki yangu wa kweli, kimbilio langu, upango wangu, mukombozi wangu, ngao yangu, yule anayenilinda, yule anayeshinda mataifa na kuyaweka chini yangu.


Lakini kwa wale walioitwa na Mungu, ikiwa Wayuda au wasiokuwa Wayuda, Kristo ni kitambulisho cha uwezo na hekima ya Mungu.


Nina uwezo wa kushauri na kuamua vizuri. Nina ufahamu na nina nguvu.


Nyama wakali hawajaikanyaga wala simba mwenyewe hajapita ndani yake.


Lakini wewe, ee Yawe, unanizunguka kama ngao; kwako ninapata utukufu na ushindi.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις