Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mezali 2:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 ukitega sikio lako kwa kusikiliza hekima, na kuelekeza moyo wako upate ufahamu,

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mezali 2:2
15 Σταυροειδείς Αναφορές  

Utufundishe ufupi wa maisha yetu kusudi tuweze kuwa na hekima.


Anayejitenga na wenzake anajipendelea mwenyewe; anakasirika akipewa shauri lolote jema.


ukiomba upewe akili, ukisihi upewe ufahamu,


Tumia akili yako kwa kufuata mafundisho; tumia masikio yako kwa kusikiliza maarifa.


Wana wangu, musikilize maadibisho ya baba yenu, mutege sikio mupate kuwa na akili.


Mwana wangu, sikia kwa uangalifu maneno yangu, utegee sikio masemi yangu.


Anayezini hana akili kabisa; anajiangamiza yeye mwenyewe.


Hata hivyo, nilikusudia kujua na kuchunguza na kutafuta hekima na maana ya mambo yanayokuwa, na vilevile kujua kwamba uovu ni upumbafu na kwamba upumbafu ni wazimu.


Kila mara nilipojitoa kwa kujua hekima na kuona yanayotendeka hapa katika dunia, nilitambua kwamba mutu anaweza kukaa macho muchana na usiku,


Haya yote nimeyaona katika uchunguzi wangu juu ya yote yanayotendeka hapa chini ya jua, ambako mwanadamu anatawala mwenzake na kumutesa.


Mutege sikio, enyi watu wangu, mukuje kwangu; munisikilize, kusudi mupate kuishi. Nami nitafanya nanyi agano la milele; nitawatendea mema niliyomwahidi Daudi.


Basi mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!”


Watu hao walikuwa wenye nia nzuri zaidi kuliko watu wa Tesalonika; nao walipokea Neno la Mungu kwa hamu kubwa. Kila siku walichunguza Maandiko Matakatifu wapate kujua kwamba maneno Paulo aliyosema yalikuwa ya haki.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις