Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mezali 11:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Ukamilifu wa watu wa usawa unawaongoza. Upotovu wa wadanganyifu unawaangamiza.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mezali 11:3
13 Σταυροειδείς Αναφορές  

Ukamilifu na usawa vinanikinga, maana ninakutumainia wewe.


Zaburi ya Daudi. Ee Yawe, unitetee, maana nimeishi katika ukamilifu, nimekutumainia wewe bila kusita.


Haki ya watu wakamilifu inanyoosha njia yao, lakini waovu wanaanguka kwa uovu wao wenyewe.


Haki inalinda wenye mwenendo sawa, lakini zambi inaangusha waovu.


Mutu akijiangamiza kwa upumbafu wake, anaielekeza hasira yake kwa Yawe.


Lakini waovu wataondolewa katika inchi, na watu wabaya watangolewa toka ndani yake.


Ukali wa waovu utawaangamiza, maana wanakataa kutenda mambo ya haki.


Yawe analinda maarifa lakini anayavuruga maneno ya waovu.


Mwenye mwenendo mukamilifu ataponyeshwa, lakini munafiki wa njia mbili ataanguka mara moja.


Lakini vilevile, usikuwe mwovu sana wala usikuwe mupumbafu! Kwa nini kufa mbele ya wakati wako?


Lakini waasi na wenye zambi wote wataangamizwa pamoja; wanaomwacha Yawe watateketezwa.


Kati ya watu hao waliouawa, kulikuwa wafalme watano wa Midiani: Ewi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile wakamwua Balamu mwana wa Beori.


Kama mutu akitaka kufanya mapenzi ya Mungu, atajua kama mafundisho yangu yanatoka kwa Mungu, au kama ninasema kwa mamlaka yangu mwenyewe.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις