Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mezali 10:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Anayeishi kwa ukamilifu anaishi salama, lakini anayepotosha maisha yake atagunduliwa.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mezali 10:9
17 Σταυροειδείς Αναφορές  

Mwenye mwenendo mukamilifu ataponyeshwa, lakini munafiki wa njia mbili ataanguka mara moja.


“Basi musiwaogope watu wale. Hakuna kitu chochote kinachofichwa kitakachokosa kuvumbulikana wala hakuna siri itakayokosa kujulikana.


Na ni hivi vilevile, matendo mazuri yanaonekana waziwazi, na hata yale yasiyoonekana wazi hayawezi kufichwa.


Kwa hiyo musihukumu mutu mbele ya wakati uliopangwa; mungojee mpaka Bwana atakaporudia. Yeye ndiye atakayeonyesha wazi katika mwangaza mambo yote yaliyofichwa katika giza na kufunua nia za siri za watu. Halafu kila mutu atapokea sifa anayostahili toka kwa Mungu.


Halafu utaweza kwenda zako kwa usalama, wala muguu wako hautajikwaa.


Siku moja tu ndani ya hekalu lako, ni bora kuliko siku elfu pahali pengine; afazali kubakia kwa mulango wa nyumba yako, kuliko kuishi ndani ya nyumba ya waovu.


Ukamilifu na usawa vinanikinga, maana ninakutumainia wewe.


Mwenye moyo mupotovu hafanikiwi, na musema uongo anapatwa na hasara.


Hata nikipita katika bonde la giza kubwa, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe, ee Yawe, ni pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vinanipa moyo.


Anaweza kuficha chuki yake, lakini nia zake mbaya zitajulikana kwa wote.


Wakati Abramu alipokuwa na umri wa miaka makumi tisa na tisa, Yawe akamutokea, akamwambia: “Mimi ni Mungu Mwenye Uwezo. Uendelee mbele yangu na kuwa mukamilifu.


Sikia! Mungu hatakataa mutu mukamilifu, wala hatasaidia waovu.


Waovu wanakimbia ijapokuwa hawafukuzwi na mutu, lakini wenye haki ni hodari kama simba.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις