Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mezali 10:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Chuki inaleta ugomvi, lakini upendo unafunika makosa yote.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mezali 10:12
10 Σταυροειδείς Αναφορές  

Na zaidi ya yote mudumu katika upendo ninyi kwa ninyi, maana upendo unafunika zambi nyingi.


Anayesamehe makosa anajenga urafiki, lakini anayekumbusha makosa anatenga warafiki.


Mutu wa hasira mbaya anasababisha ugomvi, lakini asiyekuwa mwepesi wa hasira anautuliza.


mukumbuke neno hili: yule anayemurudisha mwenye zambi toka njia ya upotevu ataokoa roho ya yule kutoka kifo, na zambi nyingi zitasamehewa.


Magombano na ugomvi vinavyokuwa kati yenu vinatoka wapi? Si vinatoka katika tamaa zenu zinazopigana ndani ya miili yenu?


Muchoyo anachochea magomvi, lakini anayetegemea Yawe atafanikiwa.


Mutu mwovu anapanga kutenda uovu. Maneno yake ni kama moto mukali.


Mwenye kasirani anachochea ugomvi, mutu wa hasira anasababisha makosa mengi.


Maana ukigandisha maziwa, utapata siagi; ukimupiga mutu kwenye pua, atatoka damu. Vilevile kuchochea hasira kunaleta ugomvi.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις