7 Yesu akamwambia: “Nitakuja kumuponyesha.”
akisema: “Bwana, mutumishi wangu anawezwa na ugonjwa wa kupooza, naye amelala ndani ya nyumba, akiteswa sana.”
Lakini yule mukubwa akamujibu: “Bwana, mimi sistahili kukupokea ndani ya nyumba yangu. Lakini uamuru kwa neno tu na mutumishi wangu atapona.
Halafu Yesu akaenda pamoja nao. Alipokuwa karibu na kwa yule mukubwa wa waaskari, yule mukubwa akawatuma warafiki zake kumwambia Yesu: “Bwana, usijisumbue, kwa maana mimi sistahili kukupokea ndani ya nyumba yangu.