Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Matayo 7:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 “Lakini kila mutu anayesikia maneno ninayotoka kusema bila kuyashika, anafananishwa na mutu mupumbafu aliyejenga nyumba yake juu ya udongo wenye kichanga.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Matayo 7:26
9 Σταυροειδείς Αναφορές  

Hao walifagiliwa mbele ya wakati wao, misingi yao imepelekwa mbali na maji.


Mwanamuke mwenye hekima anajenga nyumba yake, lakini mupumbafu anaibomoa kwa mikono yake mwenyewe.


Wenye hekima kati yenu wanafezeheka, watahangaishwa na kunaswa. Wamelikataa neno la Yawe. Basi ni hekima gani wanayokuwa nayo?


“Basi kila mutu anayesikia hayo maneno yangu na kuyashika, anafananishwa na mutu mwenye akili aliyejenga nyumba yake juu ya jiwe.


Mvua ikanyesha, mito ikajaa, nao upepo ukavuma na kuishambulia nyumba ile, lakini haikuanguka, kwa sababu musingi wake ulikuwa umejengwa juu ya jiwe.


Mvua ikanyesha, mito ikajaa, upepo ukavuma na kupiga nyumba ile, nayo ikaanguka na kubomoka kabisa.”


Lakini yule anayesikia maneno yangu pasipo kuyashika, anafananishwa na mutu aliyejenga nyumba juu ya udongo bila kuchimba musingi. Maji kutoka muto yakaishambulia, na mara moja ikaanguka na kubomoka kabisa.”


Wewe mujinga! Unataka kuhakikishwa kwamba imani pasipo matendo ni bure?


Kwa hiyo, ujumbe wa Yawe, Mungu wa Israeli, ni huu: Niliahidi kwamba jamaa yako na jamaa ya babu yako mutakuja mbele yangu kunitumikia milele; lakini sasa jambo hilo likuwe mbali nami. Nitawaheshimu wale wanaoniheshimu, na wale wanaonizarau, nitawazarau. –Ni ujumbe wa Yawe.–


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις