Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Matayo 5:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

41 Kama mutu anayetumwa na wakubwa akikulazimisha kubeba muzigo kilometre moja, uubebe hata kilometre mbili.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Matayo 5:41
6 Σταυροειδείς Αναφορές  

Walipokuwa wakiondoka, wakamwona mutu mumoja wa Kurene, aliyeitwa Simoni; wakamushurutisha abebe musalaba wa Yesu.


Kama mutu akitaka kukushitaki kusudi akunyanganye shemizi yako, umwachie koti yako vilevile.


Mutu akikuomba kitu, umupe. Na mutu akitaka umukopeshe, usimugeuzie mugongo.


Mutu mumoja wa Kurene, aliyeitwa Simoni, baba ya Alesanduro na Rufu, alikuwa akipita katika njia, akitoka kwenye vijiji. Waaskari wakamushurutisha abebe musalaba wa Yesu.


Nao walipokuwa wakimupeleka Yesu kwenda kutundikwa, wakakutana na mutu mumoja aliyeitwa Simoni, wa inchi ya Kurene, aliyekuwa akitoka kwenye vijiji. Wakamulazimisha abebe musalaba wa Yesu na kumufuata nyuma.


Maana upendo wa Kristo unatuongoza sisi tunaokubali kwamba ni mutu mumoja tu ndiye aliyekufa kwa ajili ya watu wote; maana yake wote wanashiriki katika kifo chake.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις