Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Matayo 26:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Marasi hii ingeuzishwa kwa bei kali na kuwagawanyia wamasikini mali ile!”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Matayo 26:9
9 Σταυροειδείς Αναφορές  

Gehazi, mutumishi wa Elisha mutu wa Mungu, akasema: “Bwana wangu amemwachilia Namani wa Aramu aende bila kupokea chochote alicholeta. Kama vile Yawe anavyoishi, nitamufuata kusudi nipate kitu kutoka kwake.”


Lakini Yesu akatambua mawazo yao na kuwaambia: “Sababu gani munamusumbua mwanamuke huyu? Amenitendea jambo zuri.


Wanafunzi wake walipoona jambo lile, wakachukizwa na kusema: “Kwa nini kupoteza mali namna hii?


Marasi hii ingeweza kuuzishwa kwa bei ya vikoroti mia tatu vya feza na kugawanyia wamasikini mali ile.” Na wakamukasirikia yule mwanamuke vikali.


Wameacha njia ya kweli na kupotoka wakifuata njia ile Balama, mwana wa Beori, aliyofuata. Huyu alipenda kupata mali kwa njia isiyokuwa ya haki,


Lakini watu walinyanganya vitu: kondoo, ngombe na vitu vyote bora vilivyolaaniwa kwa kumutolea Yawe, Mungu wako, kule Gilgali.”


Lakini Saulo na watu wake hawakumwua Agagi, kondoo bora kabisa, ngombe wazuri, wana-ngombe, wana-kondoo na chochote kile kilichokuwa kizuri hawakukiangamiza. Lakini vitu vyote vibaya na visivyokuwa vya bei kali waliviangamiza.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις