Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Matayo 17:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Basi Petro akamwambia Yesu: “Bwana, ni vizuri kuona kwamba sisi tuko hapa. Ukitaka, nitajenga hapa vibanda vitatu, kimoja chako, kimoja cha Musa na kingine cha Elia.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Matayo 17:4
16 Σταυροειδείς Αναφορές  

Unanionyesha njia ya kufikia uzima. Kuwa mbele yako ni kujazwa furaha, kuwa kwa kuume kwako kunapendeza milele.


Mutoe sadaka zinazokuwa sawa, na kumutumainia Yawe.


Mutaweza kumwona mufalme katika utukufu wake, mutaiona inchi anayotawala, kubwa na pana.


Angalia jinsi gani uzuri na urembo wake unavyokuwa! Vijana wanaume na wanawake watastawi kwa wingi wa ngano na divai mupya.


Halafu Musa na Elia wakiwa wakisemezana na Yesu, wakawatokea wale wanafunzi.


Watu wale walipokuwa wakiachana na Yesu, Petro akamwambia: “Bwana, ni vizuri kuona sisi tuko hapa. Tujenge vibanda vitatu, kimoja chako, kimoja cha Musa na kingine cha Elia.” (Naye alisema hayo bila kufikiri.)


“Baba, ninataka wale ulionipa wakuwe pamoja nami pahali nitakapokuwa, nao waone utukufu wangu, ndio ule utukufu ulionipa kwa sababu ulinipenda mbele ya kuumbwa kwa dunia.


Sikukuu moja ya Wayuda inayoitwa Sikukuu ya Vibanda ilipokuwa karibu,


Maana ninasongwa na mambo mawili. Ninatamani kujiendea na kukaa pamoja na Kristo, maana hili ndilo jambo bora zaidi.


Wapendwa wangu, sasa sisi ni watoto wa Mungu, wala namna tutakavyokuwa haijaonekana bado waziwazi. Lakini tunajua kwamba wakati Kristo atakapotokea, tutafanana naye kwa sababu tutamwona vile anavyokuwa.


Muji ule hauna lazima ya mwangaza wa jua, wala wa mwezi, kwa sababu utukufu wa Mungu unauangazia na Mwana-Kondoo ndiye taa yake.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις