Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Matayo 12:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Wafarisayo walipoona mambo hayo, wakamwambia Yesu: “Angalia! Wanafunzi wako wanafanya mambo yanayokatazwa kufanya kwa siku ya Sabato!”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Matayo 12:2
19 Σταυροειδείς Αναφορές  

Kwa siku sita utafanya kazi zako, lakini siku ya saba utapumzika, kusudi ngombe wako na punda wako vilevile wapate kupumzika, na watoto wa mujakazi wako na wageni wapate kustarehe.


Kwa siku sita mutafanya kazi zenu. Lakini siku ya saba ni Sabato, siku ya mapumziko ambayo ni takatifu kwa Yawe. Yeyote atakayefanya kazi siku hiyo lazima auawe.


Kama ukiacha kufanya kazi siku ya Sabato, ukiacha shuguli zako siku yangu hiyo takatifu, ukiifanya siku yangu kuwa ya furaha, ukiheshimu siku hiyo takatifu ya Yawe, ukiacha shuguli zako au kupiga domo,


Mule ndani mulikuwa mutu mumoja mwenye mukono unaokauka. Nao watu wamoja waliokuwa pale walitafuta sababu ya kumushitaki Yesu; kwa hiyo wakamwuliza: “Sheria yetu inaruhusu kumuponyesha mutu kwa siku ya Sabato?”


Yesu akawajibu: “Hamujasoma bado vile Daudi alivyofanya wakati yeye pamoja na watu wake waliposikia njaa?


Basi Wafarisayo wakamwambia Yesu: “Sababu gani wanafunzi wako wanafanya jambo linalokatazwa kwa siku ya Sabato?”


Basi Yesu akawauliza walimu wa Sheria na Wafarisayo: “Sheria inaruhusu au inakataza kuponyesha mutu kwa siku ya Sabato?”


Kisha wakarudia kwao kutengeneza mafuta na marasi ya kupakaa maiti. Siku ya Sabato wakapumzika kama Sheria ilivyoamuru.


Wamoja kati ya Wafarisayo wakawauliza: “Sababu gani munafanya mambo yanayokatazwa kufanya kwa siku ya Sabato?”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις