Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Marko 8:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Wanafunzi wake wakamujibu: “Hapa katika pori mutu ataweza kupata wapi chakula cha kuwashibisha?”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Marko 8:4
10 Σταυροειδείς Αναφορές  

Jemedari mulinzi wa mufalme akamwambia Elisha: “Hata kama Yawe mwenyewe angefanya madirisha mbinguni, jambo hilo litawezekana?” Elisha akamujibu: “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini wewe hautakula.”


Nao wanafunzi wake wakamujibu: “Hapa katika pori, tutaweza kupata wapi chakula cha kushibisha kundi kubwa kama hili?”


kwa maana hawakuelewa maana ya ule muujiza wa kuzidisha mikate; kwa kuwa mioyo yao ilikuwa migumu.


Kama nikiwaambia waende kwao pasipo kula wataregea katika njia, kwa maana wamoja kati yao wametoka mbali.”


Yesu akawauliza: “Muko na mikate ngapi?” Nao wakamujibu: “Tuko na mikate saba.”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις