Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Marko 3:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Na kwa kuona uwingi wa watu wale, Yesu akawaambia wanafunzi wake wamutayarishie chombo kidogo kusudi wasimusonge.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Marko 3:9
9 Σταυροειδείς Αναφορές  

Kisha kuaga yale makundi ya watu, Yesu akaingia ndani ya chombo, na kwenda pande za Magadani.


Yesu alianza kufundisha tena pembeni ya ziwa la Galilaya. Kundi kubwa la watu walikusanyika karibu naye, kwa hiyo akaingia ndani ya chombo na kuikaa mule. Chombo kilikuwa katika ziwa na watu walisimama inchi kavu, pembeni ya ziwa.


Basi wanafunzi wakaaga kundi la watu, wakaingia ndani ya chombo Yesu alimokuwa na kuondoka pamoja naye. Na vyombo vingine vikamusindikiza.


Yesu alipotoka ndani ya chombo, pale pale mutu mumoja aliyeshikwa na pepo akakuja kukutana naye akitoka kwenye makaburi.


Na mara moja Yesu akatambua kama nguvu zilitoka ndani yake. Basi akageuka kati ya kundi na kuuliza: “Ni nani aliyegusa nguo yangu?”


Basi wakaenda peke yao ndani ya chombo kwa pahali penye ukiwa.


Siku moja, Yesu alisimama pembeni ya ziwa la Genezareti na watu wengi walimusongasonga kusudi wasikie neno la Mungu.


Yesu akaingia ndani ya moja kati ya vile vyombo, nacho kilikuwa cha Simoni. Yesu akamwomba akisukume mbali kidogo na kivuko. Halafu akaikaa mule na kuwafundisha watu.


Wakati Yesu alipotambua kama walitaka kuja kumutwaa kwa nguvu na kumuweka kuwa mufalme, akaondoka na kwenda tena kwa kilima peke yake.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις