Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Marko 15:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Kila sikukuu ya Pasaka, Pilato alizoea kuwafungulia watu mufungwa mumoja, yule waliyemutaka.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Marko 15:6
10 Σταυροειδείς Αναφορές  

Festo aliyetaka kujipendekeza kwa Wayuda, akamwuliza Paulo: “Unataka niende kukusambishia maneno haya kule Yerusalema?”


Kulipopita miaka miwili, Porkio Festo akamukomboa Feliki kama liwali. Na kwa sababu Feliki alitaka kujipendekeza kwa Wayuda, akamwacha Paulo katika kifungo.


Lakini walijisemesha: “Tusimukamate kwa wakati wa karamu, kusudi fujo isitokee kati ya watu.”


“Munajua kwamba kumebaki siku mbili mbele ya kutimia kwa sikukuu ya Pasaka, na Mwana wa Mutu apate kutolewa kusudi atundikwe juu ya musalaba.”


Halafu Pilato akamutoa Yesu kwao, kusudi atundikwe juu ya musalaba. Basi wakamukamata Yesu.


Kulikuwa mufungwa mumoja, jina lake Baraba, aliyefungwa pamoja na waasi wamoja kwa sababu ya uuaji na uasi walioufanya.


Lakini Petro alisimama inje karibu na mulango. Yule mwanafunzi mwingine, aliyejulikana na Kuhani Mukubwa, akatoka inje, akasema na mwanamuke aliyelinda mulango, naye akamwachilia Petro kuingia ndani.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις