Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Marko 15:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Lakini wakubwa wa makuhani wakawachochea watu wamwombe Pilato awafungulie Baraba.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Marko 15:11
6 Σταυροειδείς Αναφορές  

Musikilize, enyi makuhani! Mutege sikio, enyi Waisraeli! Musikilize, enyi ukoo wa kifalme! Ninyi mulipaswa kulinda haki, pahali pake mumekuwa kama mutego kule Misipa, mumekuwa kama wavu wa kuwanasa kule Tabori.


Lakini wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu wakawashawishi wale waliokusanyika kwamba waombe Baraba afunguliwe, naye Yesu auawe.


Alisema vile kwa maana alitambua kwamba wakubwa wa makuhani wamemutoa Yesu kwa sababu walimwonea wivu tu.


Pilato akawauliza watu tena: “Basi munataka nifanye nini na huyu munayemwita Mufalme wa Wayuda?”


Halafu wakalalamika kwa nguvu: “Hatutaki mutu huyu! Tunataka utufungulie Baraba!” (Yule Baraba alikuwa munyanganyi.)


Yeye alikuwa Mutakatifu na Mwenye Haki, lakini mukamukana, mukataka Pilato awafungulie mwuaji.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις