Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Marko 10:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Yesu akamwuliza: “Sababu gani unaniita mwema? Hakuna mutu anayekuwa mwema, isipokuwa Mungu peke yake.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Marko 10:18
14 Σταυροειδείς Αναφορές  

Yesu akamwuliza: “Sababu gani unaniita mwema? Hakuna mutu anayekuwa mwema isipokuwa Mungu peke yake.


Yesu akamujibu: “Sababu gani unaniuliza juu ya jambo linalokuwa jema? Kuna mumoja tu anayekuwa mwema. Kama ukitaka kuingia pahali utakapopata uzima wa kweli, utii amri za Mungu.”


Na sisi tumejua na kuamini upendo Mungu anaokuwa nao kwetu. Mungu ni upendo. Yule anayeishi katika upendo anaungana na Mungu, na Mungu anaungana naye.


Hakuna anayekuwa mutakatifu kama Yawe; hakuna yeyote anayekuwa kama yeye; hakuna anayekuwa jiwe la kufichamia kama Mungu wetu.


Wote wamepotea, wote kwa jumla wamepotoka. Hakuna mwenye kufanya mema, hata mumoja.


Mutu asiyekuwa na upendo hamujui Mungu kwa maana Mungu ni upendo.


Kila zawadi nzuri na kila zawadi kamilifu inatoka juu kwa Mungu Baba aliyeumba miangaza yote inayokuwa katika mbingu. Mungu hawezi kubadilika wala kugeuka.


Wewe ni muzuri na unatenda mazuri; unifundishe masharti yako.


Ee Bwana, wewe ni muzuri na mwenye kusamehe, mwingi wa wema kwa wote wanaokuomba.


Yawe ni muzuri kwa wote, ni mwenye huruma kwa viumbe vyake vyote.


Yesu alipoondoka kwa kuendelea na safari yake, mutu mumoja akamufikia mbio akapiga magoti mbele yake na kumwuliza: “Mwalimu mwema, nifanye nini kusudi nipate kurizi uzima wa milele?”


Unajua jinsi amri zinavyosema kwamba: ‘Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo, usidanganye, uwaheshimu baba yako na mama yako.’ ”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις