Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Luka 9:49 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

49 Naye Yoane akasema: “Bwana, tulimwona mutu mumoja akifukuza pepo kwa jina lako, nasi tulimukataza, kwa sababu yeye si wa kundi letu.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Luka 9:49
10 Σταυροειδείς Αναφορές  

akiwaambia: “Tuliwakataza kwa nguvu musifundishe tena kwa jina la mutu huyu. Na sasa mumeeneza mafundisho yenu katika Yerusalema yote, nanyi munataka kutubebesha lazima ya kifo chake.”


Simoni akajibu: “Mwalimu, tumetumika usiku kucha bila kupata kitu. Lakini kwa sababu umeniambia, nitashusha nyavu.”


Wanajikaza kutuzuiza tusitangaze Habari Njema kwa watu wa mataifa mengine kusudi wasiokoke. Hivi wanafikilia kwenye hatua ya mwisho ya zambi walizotenda siku zote. Lakini kwa mwisho kasirani ya Mungu imewaangukia.


Lakini Yoane akamukatalia, akimwambia: “Ni mimi ninayepaswa kubatizwa nawe; namna gani unakuja kwangu?”


Watu wale walipokuwa wakiachana na Yesu, Petro akamwambia: “Bwana, ni vizuri kuona sisi tuko hapa. Tujenge vibanda vitatu, kimoja chako, kimoja cha Musa na kingine cha Elia.” (Naye alisema hayo bila kufikiri.)


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις