Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Luka 8:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 “Mupandaji mumoja alikwenda kupanda mbegu. Alipokuwa akipanda mbegu katika shamba lake, zimoja zikaanguka pembeni ya njia. Watu wakazikanyagakanyaga na ndege wakazikula.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Luka 8:5
15 Σταυροειδείς Αναφορές  

Na tai waliposhuka juu ya mizoga hiyo, Abramu akakuwa anawafukuza.


Unawakataa wote wanaogeuka mbali na masharti yako; mawazo yao maovu ni ya bure.


Naye akawajibu: “Yule anayepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Mutu.


“Ninyi ni kama chumvi kwa watu wote. Lakini kama chumvi ikipoteza onjo lake, itatiwa nini ipate tena kukolea? Haifai tena hata kidogo, inabakilia kutupwa na kukanyagwa na watu.


Nafasi ile mbegu zilipoanguka pembeni ya njia, ni mufano wa watu wanaosikia Neno la Mungu, lakini mara moja Shetani anakuja na kuondoa lile Neno lililopandwa ndani yao.


Watu walikuwa wakimufikia Yesu toka miji mbalimbali, na kundi kubwa la watu walikusanyika. Halafu akawaambia mufano huu:


Zingine zikaanguka kwenye udongo wenye mawe. Nazo zilipoota, mara moja zikakauka kwa sababu ya ukosefu wa maji.


Kwa sababu hiyo, tunapaswa kushikamana zaidi na habari tuliyosikia, kusudi tusipotee mbali.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις