Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Luka 8:49 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

49 Yesu alipokuwa hajamaliza kusema maneno hayo, mujumbe mumoja akafika toka kwa yule mukubwa Yairo wa nyumba ya kuabudia na kumwambia: “Binti yako amekwisha kufa. Usiendelee kumusumbua Mwalimu.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Luka 8:49
9 Σταυροειδείς Αναφορές  

Halafu Yesu akaenda pamoja nao. Alipokuwa karibu na kwa yule mukubwa wa waaskari, yule mukubwa akawatuma warafiki zake kumwambia Yesu: “Bwana, usijisumbue, kwa maana mimi sistahili kukupokea ndani ya nyumba yangu.


Ahazi akajibu: Sitaomba kitambulisho! Sitaki kumujaribu Yawe.


Na yule anayekuwa ndani ya nyumba akimujibu: ‘Usiniuzi! Mulango umekwisha kufungwa. Mimi na watoto wangu tumekwisha kulala; siwezi kuamuka kwa kukupatia mikate.’


Yesu alipokuwa hajamaliza kusema maneno hayo, mukubwa mumoja akafika, akapiga magoti mbele yake na kumwambia: “Binti yangu anakufa sasa hivi; lakini kuja, uweke mikono yako juu yake kusudi apate kufufuka.”


Lakini Yesu akatambua mawazo yao na kuwaambia: “Sababu gani munamusumbua mwanamuke huyu? Amenitendea jambo zuri.


Halafu mukubwa mumoja wa nyumba ya kuabudia aliyeitwa Yairo, akafika pale. Alipomwona Yesu, akajitupa mbele yake,


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις