32 Wanafanana na watoto wanaoikaa kwenye nafasi ya makutano wanaowaita wenzao, wakisema: ‘Tuliwapigia ngoma, lakini hamukucheza! Tuliimba wimbo wa kilio, lakini hamukulia!’
Kwa nini mupumbafu kuwa na feza katika mukono kwa kununua hekima, wakati yeye mwenyewe hana akili?
Barabara za Yerusalema zitajaa vijana wanaume na wanawake, wakichezacheza mule.
Ilipokuwa saa tatu za asubui, akatoka tena akawaona watu wengine wakisimama bure kwenye nafasi ya makutano.
“Basi nitawafananisha watu wa kizazi hiki na nini? Wao ni watu wa namna gani?
Ni hivi vilevile, Yoane Mubatizaji alikuja, yeye anafunga kula chakula na kunywa divai, nanyi munasema: ‘Yuko na pepo.’