Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Luka 6:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kisha Yesu akawaambia: “Ninawauliza: Sheria inaturuhusu kufanya mema au mabaya kwa siku ya Sabato? Kuponyesha mutu au kumwua?”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Luka 6:9
7 Σταυροειδείς Αναφορές  

Kisha akawauliza: “Sheria inaturuhusu kufanya mema au kufanya mabaya kwa siku ya Sabato? Kuponyesha mutu au kumwua?” Lakini wakakaa kimya.


Basi Yesu akawauliza walimu wa Sheria na Wafarisayo: “Sheria inaruhusu au inakataza kuponyesha mutu kwa siku ya Sabato?”


Yesu akawaangalia wote waliokuwa pale, kisha akamwambia yule mutu: “Nyoosha mukono wako.” Naye akafanya vile, na mukono wake ukakuwa muzima tena.


Lakini kwa kuwa Yesu alijua mawazo yao, akamwambia yule mutu mwenye mukono unaokauka: “Simama pale mbele ya watu.” Naye akaenda kusimama pale.


Kisha wakaondoka kwenda katika kijiji kingine.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις