31 Muwatendee wengine sawasawa munavyotaka wawatendee ninyi vilevile.
Na ya pili inayofanana nayo ni hii: ‘Umupende mwenzako kama vile unavyojipenda mwenyewe.’
“Basi jambo lolote munalotaka wengine wawatendee, ninyi mulitende kwao vilevile, kwa maana kile ndicho kifungo cha Sheria ya Musa na mafundisho ya manabii.
Mutu akikuomba kitu umupe nacho, na anayekunyanganya vitu vyako, usiombe akurudishie.
Kwa maana Sheria yote inafungwa katika amri hii moja: “Umupende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.”