Luka 5:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200236 Yesu akawaambia mufano huu vilevile: “Hakuna mutu anayekata kiraka kwenye nguo mupya na kukishonea juu ya nguo ya zamani. Kama anafanya vile, atakuwa amepasua ile nguo mupya na kile kiraka cha nguo mupya hakitashikamana na nguo ya zamani. Δείτε το κεφάλαιο |