Luka 24:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Lakini walipoingia ndani ya kaburi hawakuona maiti ya Bwana Yesu. Δείτε το κεφάλαιο |
“Basi kwa hiyo, ni lazima mutu mumoja ajiunge pamoja nasi kuwa mushuhuda wa ufufuko wa Bwana Yesu. Mutu yule anapaswa kuwa mumoja kati ya wale waliokuwa wakitusindikiza kwa wakati wote Bwana Yesu alipokuwa pamoja nasi; tangia wakati Yoane alipomubatiza mpaka siku ile Yesu aliponyanyuliwa toka katikati yetu kwenda mbinguni.”