Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Luka 22:51 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

51 Lakini Yesu akasema: “Mwache, inatosha!” Akagusa sikio la mutu yule, na kumuponyesha.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Luka 22:51
8 Σταυροειδείς Αναφορές  

Na mumoja wao akamupiga mutumishi wa Kuhani Mukubwa upanga na kumukata sikio la kuume.


Halafu Yesu akawaambia wakubwa wa makuhani, wakubwa wa walinzi wa hekalu na wazee waliokuja kumukamata: “Mumekuja na panga na magongo kama vile wanavyokwenda kukamata munyanganyi?


Wakati nilipokuwa pamoja nao, niliwalinda kwa uwezo wa jina lako, ndilo lile jina ulilonipa. Nimewachunga wala hakuna mumoja wao aliyepotea, isipokuwa yule anayepaswa kupotea, kusudi Maandiko Matakatifu yatimizwe.


Lakini Paulo akalalamika kwa nguvu akisema: “Usijiue, kwa maana sisi wote tuko hapa!”


Usijiachilie kushindwa na ubaya, lakini ushinde ubaya kwa kutenda mema.


Sasa mimi Paulo mwenyewe ninawaomba kwa upole na kwa wema sawa na ule wa Kristo; mimi yule ambaye wanasema juu yake kwamba ni mupole wakati ninapokuwa pamoja nanyi, lakini ni mukali wakati ninapokuwa mbali nanyi.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις