23 Basi wakaanza kuulizana wao kwa wao ni nani kati yao atakayefanya jambo lile.
Wanafunzi wakahuzunika sana na kuanza kumwuliza mumoja kwa mumoja: “Bwana, ni mimi?”
Wanafunzi wakaanza kuhuzunika na kumwuliza mumoja kwa mumoja: “Ni mimi?”
Kwa maana Mwana wa Mutu atakufa sawa vile ilivyokusudiwa na Mungu; lakini ole kwa mutu yule atakayemutoa!”
Kulitokea ubishi kati ya wanafunzi wa kujua nani anayekuwa mukubwa kati yao.