Luka 21:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Lakini mbele mambo hayo yote yatokee, mutakamatwa na kuteswa. Watawapeleka kwenda kuhukumiwa katika nyumba za kuabudia na kuwatia katika vifungo. Vilevile mutapelekwa mbele ya wafalme na ya wakubwa kwa ajili ya jina langu, Δείτε το κεφάλαιο |