Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Luka 20:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Akaendelea kuwaambia watu mufano huu: “Mutu mumoja alipanda shamba la mizabibu. Kisha kupatana kugawanyana mavuno na walimaji wamoja watakaobaki wakitunza shamba lake, akaenda safari katika inchi ingine na kukaa kule kwa muda murefu.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Luka 20:9
15 Σταυροειδείς Αναφορές  

Lakini mimi nilikupanda kama mizabibu uliochaguliwa, muzabibu wenye afya na wa mbegu safi. Mbona basi umeharibika, umegeuka kuwa muzabibu wa bure wa pori?


“Maana mambo hayo ya Ufalme wa mbinguni ni kama mutu aliyetaka kwenda safari. Yeye akawaita watumishi wake, akawagawanyia mali yake.


Basi akasema: “Mutu mumoja mwenye heshima alifunga safari kwenda katika inchi ya mbali kusudi asimikwe kuwa mufalme na kisha arudie.


Siku za mavuno zilipotimia, akamutuma mutumishi wake mumoja kwa wale walimaji kusudi wamupatie sehemu yake ya mavuno. Lakini wale walimaji wakamupiga na kumurudisha mikono mitupu.


Yesu akawaambia: “Nami vilevile sitawaambia ninyi ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.”


“Mutachagua waamuzi na wakubwa kutoka makabila yenu katika miji yenu ambayo Yawe, Mungu wenu, atawapa nao watatoa hukumu za haki kwa watu.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις