Luka 20:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Akaendelea kuwaambia watu mufano huu: “Mutu mumoja alipanda shamba la mizabibu. Kisha kupatana kugawanyana mavuno na walimaji wamoja watakaobaki wakitunza shamba lake, akaenda safari katika inchi ingine na kukaa kule kwa muda murefu. Δείτε το κεφάλαιο |