4 Yoane alipata mamlaka ya kubatiza kutoka kwa nani? Kwa Mungu au kwa watu?”
Basi nitaondoka huku na kurudia kwa baba yangu nami nitamwambia: baba, nimemukosea Mungu na nimekukosea wewe vilevile.
Yesu akawajibu: “Mimi vilevile nitawauliza ulizo hili moja. Muniambie,
Nao wakaanza kupiga mafikiri pamoja na kusema: “Kama tukijibu kwamba mamlaka yake yalitoka kwa Mungu, atauliza: ‘Kwa sababu gani basi hamukumwaminia?’
Kulitokea mutu aliyetumwa na Mungu, jina lake Yoane.