45 Lakini kwa kuwa hawakumwona, wakarudia tena Yerusalema kumutafuta.
Walizania kama alikuwa pamoja na wenzake aliosafiri nao. Kisha kutembea mwendo wa siku nzima, wakaanza kumutafuta katikati ya wandugu zao na ya watu waliojuana nao.
Nyuma ya siku tatu, wakamukuta ndani ya hekalu, akiikaa katikati ya walimu wakubwa wa Sheria, akiwasikiliza na kuwauliza maulizo.