Luka 2:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Basi Yosefu naye vilevile akaondoka katika muji Nazareti, wa jimbo la Galilaya, na kwenda Yudea katika muji wa kuzaliwa wa mufalme Daudi, unaoitwa Betelehemu. Alienda kule kwa sababu alikuwa mutu wa ukoo wa Daudi. Δείτε το κεφάλαιο |