30 Nimejionea mwenyewe wokovu unaotoka kwako,
“Ee Yawe, ninangojea uniokoe!
Ee Yawe, ninakungojea uniokoe; mimi ninatimiza amri zako.
Ninatamani sana uniokoe, ee Yawe; sheria yako ndiyo furaha yangu.
Yeye anasema: Haitoshi tu wewe kuwa mutumishi wangu, kusudi uyainue makabila ya Yakobo, na kurudisha watu wa Israeli waliobaki. Nitakufanya ukuwe mwangaza wa mataifa, kusudi watu wote wapate kuokolewa katika dunia.
Yawe ameonyesha nguvu yake tukufu, mbele ya mataifa yote. Atawaokoa watu wake, na ulimwengu wote utashuhudia.
ulioutayarisha mbele ya watu wote.
Kila mutu ataona jinsi Mungu atakavyotuokoa.’ ”
“Na kwa kumaliza, basi mujue kwamba habari ya wokovu huu wa Mungu imetumwa kutangazwa kwa watu wa mataifa mengine, nao wataisikia!” [