Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Luka 2:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Kisha wachungaji wakarudia wakitukuza Mungu na kumusifu kwa ajili ya mambo yote waliyoyasikia na kuyaona, kwa maana yote yalifanyika sawa vile malaika alivyokuwa amewaambia.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Luka 2:20
13 Σταυροειδείς Αναφορές  

Yawe, Mungu wa Israeli, asifiwe tangu milele na hata milele! Na watu wote waseme: “Amina!” Haleluia!


Mumushukuru Yawe kwa wema wake na maajabu yake kwa wanadamu.


Mumushukuru Yawe kwa wema wake na maajabu yake kwa wanadamu.


Mumushukuru Yawe kwa wema wake na maajabu yake kwa wanadamu.


Wanyenyekevu watapata furaha mupya kwa Yawe, na wamasikini kati ya watu watashangilia kwa furaha, kwa sababu ya Mungu, Mutakatifu wa Israeli.


Watu walipoona jambo hilo wakaogopa na kumusifu Mungu aliyewapa watu mamlaka ya namna ile.


Yeye alihubiri hivi kwa watu: “Yule anayekuja nyuma yangu ni mwenye uwezo kunipita; nami sistahili hata kuinama na kufungua kamba ya viatu vyake.


Na pale pale akapata kuona, na kumufuata Yesu akishukuru Mungu. Na watu wote walipoona jambo hili wakamusifu Mungu.


Wandugu waamini waliposikia maneno hayo, wakatulia na kumusifu Mungu, wakisema: “Kumbe Mungu amewajalia hata watu wa mataifa mengine vilevile kusudi waweze kugeuka toka zambi na kupata uzima kamili.”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις