Luka 18:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Yule Mufarisayo akajitenga na mwenzake akiomba hivi: ‘Ee Mungu, ninakushukuru kwa sababu mimi si kama watu wote wengine wanaokuwa wanyanganyi, watenda maovu, wazinzi. Ninakushukuru vilevile kwa kuwa mimi si kama huyu mulipishaji wa kodi. Δείτε το κεφάλαιο |