Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Luka 17:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Ni vile ilivyokuwa katika siku za Loti. Watu walikuwa wakikula na kunywa, wakinunua na kuuzisha, wakipanda mbegu na kujenga.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Luka 17:28
9 Σταυροειδείς Αναφορές  

Watu wa Sodoma walikuwa waovu na watenda zambi wakubwa mbele ya Yawe.


Kama vile mimi Yawe nilivyoiangamiza miji ya Sodoma na Gomora na miji ya jirani, vilevile hakutakuwa mutu yeyote atakayeishi humo. Kweli, hakuna mutu yeyote atakeyekaa huko. –Ni ujumbe wa Yawe.


Yesu akaingia ndani ya hekalu, naye akawafukuza watu wote waliokuwa wakiuzishia na kununulia vitu vyao ndani yake. Akapindua meza za wale waliobadilisha feza na viti vya wachuuzi wa njiwa.


Siku zile watu walikuwa wakikula na kunywa, wakioa na kuolewa mpaka ilipotimia siku ile Noa alipoingia ndani ya chombo. Halafu mvua kubwa ikanyesha na kuwaangamiza wote.


Lakini siku ile Loti alipoondoka Sodoma, moto na kiberiti vikashuka kama mvua toka mbinguni na kuwaangamiza wote.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις