19 Kisha Yesu akamwambia mutu yule: “Simama, ujiendee. Imani yako imekuponyesha.”
Naye Yesu alipogeuka, akamwona na kumwambia: “Binti yangu, ujipe moyo! Imani yako imekuponyesha.” Na mwanamuke yule akapona saa ile ile.
Yesu akamwambia: “Ujiendee, imani yako imekuponyesha.” Na pale pale akapata kuona, na kumufuata Yesu katika njia.
Yesu akamwambia: “Binti yangu, imani yako imekuponyesha. Ujiendee na amani, ugonjwa wako umepona!”
Yesu akamwambia: “Upate kuona! Imani yako imekuponyesha.”
Lakini Yesu akamwambia tena yule mwanamuke: “Kwenda na amani, imani yako imekuokoa.”
Na Yesu akamwambia: “Binti yangu, imani yako imekuponyesha. Ujiendee na amani.”