Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Luka 16:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Sasa ninajua jinsi nitakavyofanya kusudi wakati nitafukuzwa kwa kazi yangu ya ulinzi, watu wapate kunikaribisha katika nyumba zao.’

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Luka 16:4
6 Σταυροειδείς Αναφορές  

maana nikipata mali mengi nitakusahau; nikisema: “Yawe ni nani?” Au nikiwa masikini nitaiba, na kuzaraulisha jina lako ee Mungu wangu.


Yawe anasema: Watu wangu ni wapumbafu, hawanijui mimi. Wao ni watoto wajinga; hawana ufahamu. Wao wanaelewa vizuri kutenda maovu, lakini hawajui kutenda mema.


Yule mulinzi akajiuliza: ‘Sasa nitafanya nini? Bwana wangu ananifukuza kwa kazi. Kulima, mimi siwezi; na kuombaomba, ninasikia haya.


Halafu akamwita kila mutu aliyekuwa na deni ya bwana wake. Akamwuliza kwanza: ‘Deni ya bwana wangu unayokuwa nayo ni yapata gani?’


Yesu akaongeza kusema: “Nami ninawaambia: mutumie mali ya dunia hii kwa kuunga urafiki, kusudi wakati mali ile itakapokosekana, mupate kupokelewa kwenye makao ya milele.


Hekima ya namna hii haitoki mbinguni; lakini ni ya dunia, nayo ni ya kimwili na ya kishetani.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις