Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Luka 16:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 “Kila mutu anayemufukuza muke wake na kuoa mwingine, anazini; na mutu anayemwoa yule muke aliyefukuzwa anazini vilevile.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Luka 16:18
6 Σταυροειδείς Αναφορές  

Na sasa mimi ninawaambia: kila mutu anayeachana na muke wake, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi tu, na kumwoa muke mwingine, anazini.”


“Kulikuwa mutu mumoja tajiri aliyezoea kuvaa nguo zenye kuwa laini sana za bei kali zaidi na aliyeishi katika raha siku zote.


Muke hawezi kuamua sawa anavyotaka juu ya mwili wake mwenyewe; kwa sababu ni mwili wa mume wake. Vilevile mume hawezi kuamua sawa anavyotaka juu ya mwili wake mwenyewe; kwa sababu ni mwili wa muke wake.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις