Luka 16:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 “Hakuna mutumishi anayeweza kutumikia wabwana wawili. Kwa maana atamuchukia mumoja na kumupenda mwingine; au atashikamana na mumoja na kumuzarau mwingine. Hamuwezi kumutumikia Mungu na kutumikia mali vilevile.” Δείτε το κεφάλαιο |